iqna

IQNA

idul fitr
Sala ya Idu
IQNA - Sala ya Idul Fitr katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq ilishuhudia mahudhurio makubwa ya waumini na wafanyaziyara siku ya Jumatano.
Habari ID: 3478671    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/11

Sikukuu ya Idul Fitr
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei anasema utawala wa Kizayuni wa Israel "lazima uadhibiwe na kutiwa adabu" kwa shambulio lake baya dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran katika mji mkuu wa Syria, Damascus.
Habari ID: 3478662    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10

Salamu za Idul Fitr
IQNA-Rais wa Iran, Ebrahim Raisi, amesema ni wajibu wa kibinadamu na kidini kwa nchi za Kiislamu kukomesha mauaji ya kimbari ya miezi kadhaa ya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
Habari ID: 3478661    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10

Idul Fitr
IQNA – Hilali ya mwezi wa Shawwal imeandamana leo jioni nchini Iran na kwa msingi huo Jumatano Aprili 10 2024 itakuwa Mosi Shawwal 1445 Hijria Qamaria na siku kuu ya Idul Fitri.
Habari ID: 3478659    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/09

Idul Fitr
TEHRAN (IQNA) - Kwa watoto katika jamii ya Waislamu wa eneo la St. John nchini Kanada, Jumamosi ilikuwa siku ambayo walijumuika pamoja baada ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476904    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/23

Matukio ya Sudan
TEHRAN (IQNA)- Mashambulizi ya mara kwa mara yalirindima katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum hata baada ya pande mbili hasimu kutangaza kusitisha mapigano
Habari ID: 3476903    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/22

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: mkakati wa sasa wa Ulimwengu wa Kiislamu inapasa uwe ni kuwasaidia na kuwaimarisha wapigania ukombozi ndani ya Palestina.
Habari ID: 3476902    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/22

Sikukuu ya Idul Fitr
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika hotuba za Sala ya Idul Fitr amesisitiza kuwa, irada iliyoimarika kitaifa itatatua matatizo ya nchi.
Habari ID: 3476901    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/22

Idul Fitr
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za kheri na fanaka kwa Waislamu kwa mnasaba wa kuwadia siku kuu ya Idul Fitr ambayo ni siku ya kurejea katika Fitra na ni wakati wa fahari na furaha kwa waliofunga katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na waja wema wa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3476900    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/22

Mawaidha
Tehran (IQNA)- Idul Fitr, ambayo ni siku kuu inayoashiria kumalizika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, inamaanisha kurudi katka maumbile ya asili au Fitra na kwa kweli ni alama ya mwanzo wa mwaka mpya wa kiroho
Habari ID: 3476897    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/21

Siku Kuu
TEHRAN (IQNA)-Waislamu kote ulimwenguni leo wameanza kusherehekea moja ya karamu zao muhimu zaidi, Idul Fitr.
Habari ID: 3476896    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/21

Kituo cha Kimataifa cha Astronomia
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kimataifa cha Astronomia (IAC) kimesema Siku Kuu ya Idul Fitr, ambayo inaadhimisha mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, huenda ikaangukia Jumamosi.
Habari ID: 3476880    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/17

Uchambuzi
TEHRAN (IQNA)- Nchi za Kiislamu zimesherehekea Idul Fitr baada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani wakati ambao katika baadhi ya nchi za Kiislamu amani na usalama inaonekana kuwa kiungo muhimu zaidi kinachokosekana katika maisha ya watu wa nchi hizo.
Habari ID: 3475210    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/05

Maelfu ya Waislamu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana Jumanne walishiriki katika Sala ya Idul Fitr baada ya kukamilisha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475204    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/04

TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya waumini wameshiriki katika Sala ya Idul Fitr katika eneo lililo baina ya Haram Mbili Takatifu za Imam Hussein AS na Hadhrat Abbas AS linalojulikana kama Bayn al-Haramayn katika mjini Karbala, Iraq.
Habari ID: 3475203    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/04

TEHRAN (IQNA) Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamua ametuma salamu za mkono wa Idi kwa Waislamu na viongozi wa nchi za Kiislamu duniani kote
Habari ID: 3475201    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/03

Hotuba ya Sala ya Idul Fitr Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Idul Fitr mjini Tehran amesema katika hotuba zake kwenye Swala ya Eidul-Fitri leo hapa mjini Tehran kwamba, maandamano ya Sikuu ya Kimataifa ya Quds yameonyesha kuwa, malengo matukufu ya taifa madhulumu la Palestina yangali hai.
Habari ID: 3475200    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/03

TEHRAN (IQNA)- Kinachowangoja waumini baada ya mfungo wa mwezi mmoja ni Idi adhimu ambayo imetolewa kwa wale ambao wametoka kwa mafanikio katika Ramadhani ambao ni mwezi wa ugeni na rehema zisizo na kikomo za Mwenyezi Mungu
Habari ID: 3475198    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/02

TEHRAN (IQNA)-Wapalestina karibu laki moja wameshiriki katika Sala ya Idul Fitr leo Alkhamisi asubuhi katika Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu katika mji wa Quds (Jerusalem) licha ya sheria kali zilizowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel ambao siku chache zilizopita wanajeshi wa utawala huo katili waliwashambulia kwa mabomu Waislamu waliokuwa wanasali ndani ya Msikiti huo.
Habari ID: 3473906    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/13

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Iran wamejiunga na wenzao katika baadhi ya maeneo ya dunia katika sherehe za Idul Fitr. Hapa Tehran sawa na miji mingine ya Iran wuamini wamesali Sala ya Idul Fitr kwa kuzingatia kanunni za kuzuia kuenea corona.
Habari ID: 3473904    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/13